About TPB Bank PLC ATM|Branch Locator Media & News Center Downloads Careers
TPB BANK PLC
  • Home
  • Personal Banking
      • ACCOUNTS
      • Salary Account
      • Quick Account
      • Minor Account
      • Students Account
      • Call Account
      • Sports Account
      • Tabasamu Account
      • CREDIT FACILITIES
      • Micro Loans
      • Personal Loans
      • INSURANCE SERVICES
      • Domestic Package
      • Personal Insurance
      • Public Liability Ins
      • Motor Policy
      • TIME DEPOSITS
      • WADU Plus
      • Fixed Deposits
  • Business Banking
      • ACCOUNTS
      • Business Account
      • CREDIT FACILITIES
      • SME Loans
      • INSURANCE SERVICES
      • Burglary Insurance
      • Fidelity Guarantee Insurance
      • Money Insurance
      • Fire Insurance
  • Electronic Banking
      • E-BANKING
      • TPB POPOTE Mobile Banking
      • TPB POPOTE Agency Banking
      • TPB POPOTE ATMs
      • TPB POPOTE Cards
      • Internet Banking
      • BILL PAYMENT
      • TRA Tax Collection
      • Fees Payment
      • MONEY TRANSFER
      • Western Union
      • TISS
      • Telegraghic Transfer - TT
      • EFT
  • Financial Inclusion
      • GROUP BANKING
      • Informal Groups Account
      • TPB VICOBA Account
      • TPB VSLA Account
      • M-KOBA
  • Treasury
      • TREASURY SERVICES
      • Foreign Exchange
      • Notice Deposits

FINANCIAL INCLUSION > GROUP BANKING

M-KOBA


  • Informal Groups Account
  • Tpb Vicoba Account
  • Tpb Vsla Account
  • M-koba

TPB Bank kwa kushirikiana Vodacaom tunatarajia kuzindua huduma ya Akaunti za vinkundi inayoitwa M-KOBA hudumu hii ni mahususi katika  kurahisisha upatikanaji wa huduma za kibenki kwa Vikundi, kuweka uwazi ndani ya vikundi wapokuwa wanafanya shughuli zao na Usalama wa kifedha ndani ya vikundi.

Kwahiyo ili mwanakikundi au mwanajamii aweze kupata huduma hii ni lazima kwanza awe na laini ya VODA na pia awe amijisajili na huduma ya M-Pesa.

Huduma hii inapatikana katika M-PESA Menu:

Hivyo basi, pindi mwanakikundi/mwanajamii hatahitaji kupata huduma hii itabidi kwanza aingie kwenye Mpesa Menu akishaingia itabidi haende kwenye huduma za kibenki, Kisha M-KOBA.

Naomba sote kwa pamoja tushirikiane katika kuiuza bidhaa hii hadimu na ya aina yake sokoni.

M-KOBA

Vodacom kwa ushirikianona TBP Bank inawaletea wateja wake wote huduma mpya ya M-KOBA hii ni huduma mahususi kwa vikundi vidogo vidogo M-KOBA na vicoba kwa ajili ya kutunza fedha, mikopo, riba na mambo mengine yote yanayofanyika kwenye vikundi hivi.

Huduma hii imeleta: usalama wa fedha za wanakikundi, uwazi na urahisi kwasababu shughuli zote zinafanyika kidigitali.

Wanakikundi wanaweza kujiandikisha kwenye huduma hii kupitia menu ya M-Pesa *150*00# kisha chagua Huduma za kifedha halafu chagua M-KOBA

Kuna akaunti mbili katika M-KOBA

·         Marafiki/Familia

·         VICOBA/VSLA

 

Marafiki/Familia

Hii ni akaunti maususi kwa vikundi vidogo inaweza kuwa familia ama marafiki ambao wamekusudia kuchanga fedha na baadae kugawana baada ya muda Fulani.

Mfano: UPATU, Harusi.

VICOBA/VSLA

Hii ni akaunti maususi kwa ajili ya vikundi vyenye upana mkubwa wa wanachama na vilivyo na mfumo wa kuuza na kununua hisa, kuweka akiba, Michango ya Kijamii na Kupeana Mikopo. Vikundi hivi ni vile vihusishavyo VICOBA na VSLA.

Vigezo vya kufungua Akaunti ya Kikundi ya M-KOBA:

Kikundi cha M-KOBA kitatakiwa kuwa na wanachama wasiopungua watano.

Ili kutengeneza akaunti ya M-KOBA Kila kikundi kinapaswa kuwa na viongozi watatu.

  •          Mwenyekiti
  •          Katibu
  •         Mwekahazina

Katika akaunti hii ya M-KOBA kutakua na wahidhinishaji watano ambapo kati yao kutakua na Mwenyekiti, Katibu, Mwekahazina na Wanachama Wawili Lengwa.

Mwenyekiti huyu ndie kiongozi na admin wa kikundi, Mwenyekiti atakua na mamlaka ya kuongeza mwanachama na kumpa majukumu na vilevile yeye ndio mtu wa mwisho kuthibitisha kutuma fedha kwa mwanachama wa kikundi.

Na pia kutakua na Katibu ambae ataongezwa na mwenyekiti na yeye ndo atakae anaanzisha malipo yote M-KOBA na mikopo itolewayo kwa wanachama wa kikundi.

Na vilevile atakuwepo Mwekahazina, pia ataongezwa na mweneyekiti na kazi yake itakua ni kuthibitisha malipo na mikopo itolewayo kwa wanachama wa kikundi.

Ili kutoa pesa kutoka kwenye akaunti ya Kikundi kwenda kwa mwanachama wa kikundi viongozi wa kikundi wanapaswa kuithinisha mchakato mzima.

Contact Us

  • Email:
    info @tpbbank.co.tz,
    callcentre@tpbbank.co.tz
  • Customer Service: +255 787 669 977
  • Call Centre:
    +255 765 767 683, +255 788 767 683, +255 658 767 683, +255 773 767 683
  • Head Office 10th LAPF Towers, Bagamoyo Road, Opp Makumbusho Village, Kijitonyama, P.O BOX 9300, Dar es salaam
  • +255 22 2162940
TPB BANK PLC

Popular Links

  • Internet Banking
  • Cash Collection Portal
  • Photo Gallery
  • FAQs
  • News Center
  • Agents
  • Events
  • Mahitaji Ya Kuwa Wakala
  • Jinsi Ya Kutumia SONGESHA
  • Jinsi Ya Kutumia M-KOBA
  • Customer Complaint Handling Procedure
  • Utaratibu Wa Kutoa Malalamiko Ya Mteja

Do you have any complaints about our services?

Social Media

  • Facebook
  • Instagram
  • Twitter
  • HOME
  • ABOUT US
  • ATM|BRANCH LOCATOR
  • MEDIA & NEWS CENTER
  • TENDERS
  • CAREERS

© 2021 TPB BANK PLC. All Rights Reserved.